Isaiah 55:1

Mwaliko Kwa Wenye Kiu

1 a“Njooni, ninyi nyote wenye kiu,
njooni kwenye maji;
nanyi ambao hamna fedha,
njooni, nunueni na mle!
Njooni, nunueni divai na maziwa
bila fedha na bila gharama.
Copyright information for SwhNEN